Posts

Showing posts from August, 2016

JINSI YA KU-ROOT SIMU ZA ANDROID

Image
Habari wapendwa nipo pamoja nanyi mpaka kieleweke leo tuzungumzie japo kwa uchache maelezo ya kufanya Root kwenye simu zetu za android  kabla ya kuanza kuroot simu yako kutabatilisha warranty na muuzaji wako aliyekuuzia , pi root at your  own risk i will not be hold responsible for any negative outcomes ANDROID ROOTING NI NINI? Ni mchakato wa kuruhusu watumiaji wa smartphones, Tablet na vifaa vingine vinavyotumia Oparetion sysetm ya android kupata uwezo  kukiendesha kifaa au simu ya android katika kiwango cha hali ya juu Rooting mara nyingi hutumika kwa lengo la kuondo overcome limitations ambazo zimewekwa na watengenezaji wa vifaa vya android  FAIDA ZA KU-ROOT Rooting ina faida nyingi kama vile kubadiri ROOM, Kuinstall  system  installed app ku install apps ambazo zinahitaji root  access kama vile TITANIUM BACK UP JINSI YA KUROOT Ku root android devices kunatofautiana kati ya simu na simu , hapa nitakupatia njia za ku root baadhi y...

NJIA RAHISI YA KUFUNGUA BLOG YAKO HATUA KWA HATUA

Image
Habari ndugu wasomaji wa ukumbi huu leo nimekuja hapa kujuzana kuhusu kumiliki blog yako mwenyewe zipo njia nyingi za kukuwezesha kumiliki blog yako bure bila kulipia nitakutajia chache kama  blogger.com wordpess.com weebly.com webs.com na kuna nyingine nyingi lakini sisi leo tuangazie kufungua kutumia blogger unachotakiwa kufanya ni kutembelea link yao ambayo ni hii www.blogger.com   itakuletea muonekano huu  Hapo unachotakiwa kufanya kama unamilliki email ya gmail ingiza hapo na nywila (password) yako kama huna utafungua akaunti mpya kwa kubofya maneno yanayo someka fungua akaunti mpya (creat new account) watakuletea fomu yao utajaza na kukubaliana nao kisha watakupatia akaunti yako sasa utakuwa umesha sign in utaona muonekano huu kwasababu ndio mara ya kwanza muhimu kuna sehemu ya lugha ukiangalia hio picha hapo juu kwa faida yako badili uweke kiingereza cha kingdom hii itakusaidia kupata nafasi ya kujisjili na matangazo ya ADSENSE, Kama unahitaji msomaji...

JINSI YA KUTUMIA MODEM KWA KUTUMIA LINE YEYOTE BILA KU UNLOCK

Image
Habari msomaji wangu wa nguvu ni siku nyingine tena tunakutana hapa ili kupashana kuhusu mambo mbalimbali kuhusu Technology leo tuzungumzie modem kwa wale wazee wa net maana kuna mitandao mbalimbali je ni lazima uwe na modem za mitandao yote hapa leo tuseme hapana fuatana nami kwenye makala hii ili tuweze kutanua upeo wetu kidogo fuata hatua hizi ili uweze kuenjoy  mahitaji na jinsi ya kufanya zoezi hili Unachotakiwa ni kuwa na modem yako pamoja na line ya simu yeyote Pakua (download) nokia pc suite installed katika mashine yako Ipakue  hapa Kisha weka modem yako kwenye mashine yako unayotaka kutumia Kisha ifunge software ya modem yako fungua program yako ya nokia pc suite bonyeza sehemu iliyoandikwa "creat an interne connection" ikifunguka itakuletea ujumbe huu "no device connected"  Bonyeza "sparner like icon" hapa itakuonyesha modem yako ambayo umeichomeka kwenye mashine yako bonyeza tena kwenye ile ICON ili uweze kuset 9kupan...

JINSI YA KU-UNLOCK MODEM YA TIGO HUAWEI E303H

Image
Habari ndugu zangu ni siku nyingine tena leo tunakutana kwaajili ya kupeana maujuzi yale mungu aliyotujaalia leo tuzungumzie hili la modem ya tigo baada ya kumalizana na vodacom fuatana nami mpaka mwisho wa makala hii mahitaji  Huawei modem unlocker ipakue/download hapa >>> https://copy.com/3Ivruv1HrSSc  | size 30kb Firmware pia ipakue/download hapa>>> http://goo.gl/5fJlJp  | size 13.5mb JINSI YA KUFANYA ZOEZI HILI hizi ni step chache ili uweze kukamilisha zoezi hili  Install driver za huawei E303H kwa kuinstall software ya modem yako kama umeweka laini tofauti na ya tigo itakuletea ujumbe huu Chakufanya wewe bonyeza ok kisha ifunge software ya modem  kisha fungua huawei unlocker hakikisha imesoma IMEI namba kisha bofya calculate Nakili (copy) flash code tutazitumia kwenye hatua inayofuata fungua firmware kisha bofya start Itakuletea mfumo huu hapo kwenye nywila (password) pandika (paste) ile flash co...

JINSI YA KUWEKA ANDROID 4.4.4 (KITKAT) KWENYE HUAWEI Y300

Image
Watu wengi wanaotumia simu ya huawei Y300 wamekuwa wakitaka kutumia android 4.4.4 Kitkat kwenye simu zao lakini imekuwa ni ndoto kwao kwakua huawei haijatoa official update ya android 4.4.4 kitkat kwenye huawei Y300. Kutoka na hilo basi leo nitatoa malekezo jinsi ya kuweka custom rom ambayo itakupa uwezo wa kutumia android 4.4.4 kitkat kwenye huawei Y300. Slim Kat rom ndio rom ambayo ntaiweka kwenye huawei Y300. VIGEZO NA MASHARTI. 1: MIMI SITAHUSIKA ENDAPO WEWE UTAARIBU SIMU YAKO 2: UELEWA WA COMPUTER UNATAJIKA 3: SOMA MAELEKEZO KWA UMAKIMI KABLA UJAJARIBI KWENYE SIMU YAKO JINSI YA KUWEKA ANDROID 4.4.4 KITKAT KWENYE HUAWEI Y300 STEP 0. Hakikisha simu yako ni Huawei Y300 na sio vinginevyo. STEP 1 Hakikisha simu yako tayari imekuwa rooted, bootloader imekuwa unlocked na una custom recovery kwenye simu yako. Kama bado tembelea link chini kwa msaada zaidi. http://phonetricktz.blogspot.com/2014/10/jinsi-ya-ku-root-huawei-y300-na-unlock.html?m=1 STEP 2 Download Slim Kat Rom kwa kutumia l...

MAUJANJA KWENYE SIMU ZA ANDROID

Image
Simu zinazo tumia mfumo wa Android zina ujanja mwingi sana. Ujanja kwenye simu za android huongezeka endapo utakuwa ume root simu yako.  Kabla hatuja endelea ni vema nikakutajia masharti na vigezo vinavyo itajika ili kuweza kufanya maujanja kwenye simu yako ya andorid.  Vigezo na Masharti 1: Hakikisha simu yako ume root 2: Mimi sita husika endapo utaaribu simu yako 3: Hakikisha umeweka ES Explorer kwenye simu yako. Kama bado unaweza kui download kutoka kwenye play store kwa kutumia link chini Leo tutaona ujanja ambao utaweza kuufanya pale utakapo edit  build.prop  kwenye simu yako ya andorid. Build.prop ni file ambalo lina maelezo yote kuhusu simu yako ya andorid. Maelezo kama toleo la android unalo tumia, Model ya simu unayotumia, kampuni ya simu unayotumia, mtandao wa simu unaoutumia na mambo mengine mengi.  Fungua Es Explorer kisha slide kwenda kulia ili kupata side menu kama picha chini  Shuka chini kabisa mpaka utakapoona kipengele kin...